M-BET « YA YO » imezaliwa. Hii ni Jumuiya ya M-BET ambayo inakupa zawadi, mitoko na michongo wewe mnazi wa michezo.
Kila mwezi uutapata taarifa ya jumla ya points ulizokusanya kwa njia ya WhatsApp au DM ya Instagram pamoja na zawadi utakazoweza kushinda.
Katika nyakati ambazo hauna namna ya kupatikana kwa njia tajwa za mawasiliano, unaweza kutupata kwa njia ya simu zetu za kudhibitisha kua wewe ni mmiliki halali wa akaunti tyako.
Hii ni club ya wachezaji waliojisajili kwakua na akaunti hai ya M-Bet na kucheza tiketi kwa mwezi husika ambapo wanaweza kupata zawadi na mitoko adimu. Kwa kila Tsh 10,000 inayochezwa na kupotezwa kwenye michezo utapokea M-Bet « YA YO » 1 ambayo unaweza kuikusanya na kubadili kua zawadi au mitoko.
Jisajili na M-BET na uwe na akaunti hai na kuanza kutengeneza tiketi.
Kila mwezi utapokea idadi ya points ulizokusanya kwa njia ya WhatsApp au Instagram ikiwa unahitaji kuendelea kukusanya pointi zako au kuzibadili kua zawadi zilizopo. Aina ya zawadi na mitoko inayopatikana zinawekwa kwenye tovuti au app zetu.
Points unazozikusanya zina uhai wa mpaka robo mwaka (Miezi Mitatu) kwani kutakua na mabadiliko ya zawadi kila robo mwaka na hivyo kukufanya ufurahie mitoko tofauti. Kwa kila robo mwaka ambayo Likes hazijatumika zitafutwa.
M-Bet points haziwezi kuhamishwa kati ya watu.
Angalia taarifa juu ya program ya M-Bet « YA YO » kwenye ukurasa ya Masharti na Vigezo.